Wednesday, February 20, 2008

Mh Pinda Akabidhiwa Office


Waziri Mkuu wa zamani Mh. Lowassa jana alikabidhi office ya waziri mkuu rasmi.
Akipeana mikono kwa utashi mkuu na waziri mpya Mh. Mizengo Pinda, bunge huyo wa Monduli alionekana kuwa mwenye furaha na tabasamu usoni.

No comments: