
Waziri Mkuu wa zamani Mh. Lowassa jana alikabidhi office ya waziri mkuu rasmi.
Akipeana mikono kwa utashi mkuu na waziri mpya Mh. Mizengo Pinda, bunge huyo wa Monduli alionekana kuwa mwenye furaha na tabasamu usoni.
Karibu JF blogs. Tuongee kwa uhuru pasipo kuvunja sheria. Hapa tutaweka habari moto moto sa kisiasa, kiuchumi na kitekinolojia.
No comments:
Post a Comment